Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

MH. MAHUNDI: Serikali Yaendelea Kuimarisha Mazingira Wezeshi kwa Biashara za Wanawake Dodoma

November 28, 2025

Teknolojia Mpya ya Kukaushia Mpunga Yazinduliwa: Dryer ya Tani 8 kwa Saa 4 Yaonyesha Uwezo Wake

November 28, 2025

Hali iliyokuwa ikimsumbua ikaondoka polepole

November 28, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • MH. MAHUNDI: Serikali Yaendelea Kuimarisha Mazingira Wezeshi kwa Biashara za Wanawake Dodoma
  • Teknolojia Mpya ya Kukaushia Mpunga Yazinduliwa: Dryer ya Tani 8 kwa Saa 4 Yaonyesha Uwezo Wake
  • Hali iliyokuwa ikimsumbua ikaondoka polepole
  • Alipigiwa simu kutoka kampuni ya mawasiliano na kupewa kazi
  • MIKOPO IWE CHACHU YA KUKUA KIUCHUMI NA KUZITUNZA FAMILIA ZENU – MHE. MARYPRISCA
  • Dkt. Shein Awataka Wahitimu wa Mzumbe Mbeya Kujituma kwa Uadilifu na Kulitumikia Taifa
  • Sasa chumba chao kimejaa mapenzi na furaha!
  • Ingawa alikuwa msomi, alijisalimisha ili apate kazi
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » Teknolojia Mpya ya Kukaushia Mpunga Yazinduliwa: Dryer ya Tani 8 kwa Saa 4 Yaonyesha Uwezo Wake
Video Mpya

Teknolojia Mpya ya Kukaushia Mpunga Yazinduliwa: Dryer ya Tani 8 kwa Saa 4 Yaonyesha Uwezo Wake

Mbeya YetuBy Mbeya YetuNovember 28, 2025No Comments0 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Wadau wa kilimo kutoka taasisi za Serikali na sekta binafsi wamepatiwa mafunzo juu ya matumizi ya mashine za kisasa za kukaushia na kupima unyevu wa mazao ya nafaka, katika warsha iliyoandaliwa na Wizara ya Kilimo kwa kushirikiana na JICA jijini Mbeya.

Warsha hiyo imefanyika tarehe 26 Novemba 2025 katika shamba la Raphael Group Ltd, ambapo mashine ya Batch Circulating Dryer yenye uwezo wa kukaushia hadi tani 8 za mpunga ndani ya saa 4 imeoneshwa kwa vitendo. Teknolojia hii inatarajiwa kupunguza kwa kiasi kikubwa upotevu wa mazao baada ya mavuno.

Akizungumza katika mafunzo hayo, Mhandisi Sekela Mwakihaba kutoka Idara ya Zana za Kilimo na Uongezaji Thamani alisema ushiriki wa wadau unaonesha dhamira ya Serikali ya awamu ya sita kuboresha mnyororo wa thamani wa mazao na kupunguza uharibifu wa nafaka wakati wa uvunaji. Alibainisha pia kuwa Serikali inaendelea kusukuma matumizi ya teknolojia kupitia utekelezaji wa Agenda 10/30 ili kuongeza tija na kipato cha wakulima.

Kwa upande wake, Meneja wa Uzalishaji wa Raphael Group Ltd – Kituo cha Uyole, Bw. Maisha Ambangile, alisema mashine hiyo itasaidia wakulima kupata nafaka kavu kwa ubora wa soko na kwa muda mfupi, huku gharama ya mashine moja ikiwa takriban shilingi milioni 188.

Warsha hiyo imeratibiwa na JICA kwa kushirikiana na kampuni za YAMAMOTO (watengenezaji wa mashine za kukaushia nafaka) na Kett Electric Laboratory (watengenezaji wa mashine za kupima unyevu), ikiwakutanisha maafisa wa Serikali, wataalamu wa JICA, wamiliki wa mitambo ya ukavu na wakulima kutoka maeneo mbalimbali ya Mkoa wa Mbeya.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

Dkt. Shein Awataka Wahitimu wa Mzumbe Mbeya Kujituma kwa Uadilifu na Kulitumikia Taifa

November 27, 2025

Mbeya Zonal: Mafunzo ya Dharura Yaendelea Kuimarisha Uokozi Kanda ya Nyanda za Juu Kusini

November 26, 2025

*DKT. MWIGULU AWAONYA WAVUNJIFU WA SHERIA*

November 26, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025239

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025231

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024201

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025128
Don't Miss
Habari za Kitaifa

MH. MAHUNDI: Serikali Yaendelea Kuimarisha Mazingira Wezeshi kwa Biashara za Wanawake Dodoma

By Mbeya YetuNovember 28, 20252

Wizara kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkoa wa Dodoma itaendelea kushirikiana kwa karibu na jukwaa…

Teknolojia Mpya ya Kukaushia Mpunga Yazinduliwa: Dryer ya Tani 8 kwa Saa 4 Yaonyesha Uwezo Wake

November 28, 2025

Hali iliyokuwa ikimsumbua ikaondoka polepole

November 28, 2025

Alipigiwa simu kutoka kampuni ya mawasiliano na kupewa kazi

November 28, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

MH. MAHUNDI: Serikali Yaendelea Kuimarisha Mazingira Wezeshi kwa Biashara za Wanawake Dodoma

November 28, 2025

Teknolojia Mpya ya Kukaushia Mpunga Yazinduliwa: Dryer ya Tani 8 kwa Saa 4 Yaonyesha Uwezo Wake

November 28, 2025

Hali iliyokuwa ikimsumbua ikaondoka polepole

November 28, 2025
Most Popular

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025239

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025231

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024201
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.