Naibu Waziri wa Maji Mhandisi Mathew Kundo ametembelea chanzo cha maji mto Kiwira Wilaya ya Rungwe Mkoani Mbeya ambacho kimefikia asililimia tisini na nane huku akisema zaidi ya shilingi bilioni nne zimetolewa na Serikali kuendeleza mradi huo pamoja na kutoa wito kwa wananchi kutunza chanzo cha maji ili mradi uweze kufanya kazi kwa muda mrefu. Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Mbeya (MBEYAUWSA) amesema mradi huo utakuwa na ujenzi wa chanzo cha maji, bwawa la kutibu maji,utandazaji wa mabomba na tanki la kusambazia maji.
Trending
- Naibu Waziri Kundo: Mradi wa Maji Mto Kiwira Umefikia Asilimia 98
- Madaktari Walimwambia Ataishi na Maumivu Milele Lakini Ndani ya Miezi Sita Kila Kitu Kilibadilika
- Walimdharau Kwa Miaka Kwa Sababu ya Umaskini Leo Anasaini Contracts za Serikali Zenye Thamani ya Mabilioni
- This time I give steve a link (no mid-stream ads)
- What is Charlie Kirk’s Security Man Brian Harpole Twisting and Squeezing at the Big Bang? – #33
- Aliachwa na Mpenzi Wake Siku Moja Kabla ya Harusi Miezi Michache Baadaye Dunia Ilimshangaa
- BREAKING! MIT SCIENTIST SUSPECT MANHUNT , KASH INTERVIEW, TRUMP ADDRESS, NEWSOM & REAGAN, BLACK TV
- View the subsequent content through the homepage link#usa #shortsvideo #newyork

