Mbunge wa Jimbo la Lupa, Mhe. Masache Kasaka, akichangia Mpango wa Maendeleo wa Serikali 2026/27 bungeni, amepongeza Serikali kwa mwelekeo mzuri wa mpango huo na kusisitiza umuhimu wa kuimarisha miundombinu ya usambazaji wa umeme, hususan Chunya. Ameshauri ujenzi wa kituo cha umeme (substation) na upanuzi wa umeme kwenye maeneo ya wachimbaji ili kupunguza gharama za uendeshaji, kuongeza uzalishaji, na kuchochea ukuaji wa sekta ya madini na sekta binafsi kwa ujumla.
Trending
- JK KWA MFALME MSWATI III KUJADILI UPATIKANAJI WA FEDHA ZA MIRADI YA AFYA KWA NCHI WANACHAMA WA ECSA
- Halmashauri Yaipongeza Mbeya UWSA Kwa Mradi wa Maji, Asema Utakuza Uwekezaji
- Mpango wa Maendeleo 2026/27: Kasaka Apongeza Mafanikio, Aomba Maboresho
- Msafara Wasimama Soweto, Mbunge Mwalunenge Aamuru TANROADS Kuondoa Dimbwi la Miaka 3 Mara Moja
- CCM Miaka 49: Mbunge wa Mbarali Akabidhi Mashuka Kituo cha Afya Utengule
- Dkt. Tulia Ackson Atoa Msaada wa Vifusi Roli 10 kwa Ukarabati wa Barabara ya Chanyasi
- TGNP na CARE Watoa Mafunzo ya Mabadiliko ya Tabia Nchi kwa Jamii Mbeya
- JUMUIYA YA WAZAZI CCM YAFUNGUA MAADHIMISHO YA MIAKA 49 KWA MATEMBEZI YA AMANI – MBEYA MJINI

