Subscribe to Updates
Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.
- MAZISHI YA SAMSON MWAMAKIMBULA
- Mbinu aliyotumia kupata kazi ya udereva baada ya kusota sana
- MHE. SALOME MAKAMBA AIPONGEZA PBPA KWA UTENDAJI KAZI MZURI
- Hofu yake zilianza kuathiri hata furaha ya ndoa yake
- MASACHE AWATAKA WANANCHI KUENDELEA KUSHIKILIA AMANI
- MH. MASACHE: TUENDELEE KUISIMAMIA MIRADI ILIYOKUWEPO NA KUIBUA MIPYA AWASHUKURU WANA CHUNYA
- MH. NOAH MWAKISU AAPISHWA RASMI KUWA DIWANI KATA YA ILOMBA
- Dourmohamed Issa ashinda kwa kishindo Umeya na kutetea nafasi yake
Author: Mbeya Yetu
Hapa duniani kuna njia nyingi za kuweza kufanikiwa kimaisha, changamoto inakuwa jinsi gani utaweza kupata hizo njia na kuzitumia hadi kuweza kufanikiwa. Kibaya zaidi ni kwamba ni watu wachache sana waliofanikiwa ambao hueleza ukweli kuhusu siri za mafanikio yao, wengi husema uongo kuhofia kupitwa kimafanikio au kukutwa na gundu. Moja ya njia ambazo zinaonekana kuwa nyepesi kufanikiwa kimaisha ni kubashiri michezo (bet), unapoweka fedha kidogo unaweza kuona utashinda fedha nyingi endapo timu ulizochagua zitashinda kama ulivyobashiri. Hata hivyo, watu wengi hasa vijana hujikuta katika maisha ya kubet kwa miaka mingi bila kufanikiwa kupata fedha yoyote zaidi ya fedha zao kuzinufaisha…
Wakazi wa jiji la Mbeya walishtushwa na tukio lisilo la kawaida lililotokea katika mtaa wa Forest, ambapo mwanaume mmoja anayejulikana kwa jina la Richard aliripotiwa kushindwa kutembea ghafla baada ya kutoka nyumbani kwa mwanamke anayedaiwa kuwa mpango wake wa kando. Tukio hilo liliwavutia watu wengi na kuzua mijadala mikali kuhusu uaminifu kwenye ndoa na nguvu za kiroho. Kwa mujibu wa mashuhuda, Richard alikuwa ameonekana akiingia nyumbani kwa mwanamke huyo mchana wa saa nane. Ilielezwa kuwa alikuwa amevalia mavazi rasmi, akionekana mwenye furaha. Hata hivyo, muda mfupi baada ya kuingia, vilisikika vilio vya maumivu na kelele kutoka ndani ya nyumba hiyo.…
Ukweli ni kwamba kila mfanyabiashara ambaye unaona amefanikiwa, ana siri kuhusu mafanikio, kuna jambo la muhimu nyuma ya pazia katika yale mafanikio yake, na sio wote wapo tayari kuzungumzia hilo. Nimekuja kuamini hilo baada ya kukutana na Kiwanga Doctors na kunieleza wafanyabiashara maarufu na wakubwa wengi wamepita kwao kutazamwa nyota zao kibiashara, na ndipo wakaenda kufanya kazi katika eneo la nyota zao na kufanikiwa. Jina langu ni Ally, mimi ni Mfanyabiashara ambaye najishughulisha na usafirishaji wa mizigo kutokea bandari ya Mombasa kuja Nairobi. Nashukuru sana kazi hii ambayo nimeifanya kwa miaka zaidi ya mitano sasa, imekuwa yenye faida sana kwenye…
Kwa miaka saba, nilijaribu kila njia kupata mtoto lakini sikufanikiwa. Nilikuwa kwenye ndoa nzuri mwanzoni, lakini kadri muda ulivyopita bila mimba, kila kitu kilianza kubadilika. Mume wangu, ambaye awali alikuwa mpole na mwenye upendo, alianza kuwa mtu tofauti kabisa. Alianza kuchelewa kurudi nyumbani, na mara nyingine hakuwa akizungumza nami hata siku nzima. Nilikimbilia hospitali mara kadhaa. Vipimo vyote vilionyesha niko sawa. Nilifanyiwa hata upasuaji mdogo ili kusafisha mirija ya uzazi. Madaktari waliniambia “subiri tu, wakati wako utakuja,” lakini miaka ikaenda bila dalili yoyote ya ujauzito. Marafiki na hata baadhi ya ndugu walianza kunitenga, huku wakinong’ona kuwa labda nilikuwa nimetumia ujana…
Wakati mwingine mapenzi yanaweza kuwa ya kushangaza sana. Nilipomuona kwa mara ya kwanza akiwa na suti ya kijivu, tai ya maroon na viatu vya rangi ya kahawia iliyong’aa, nilihisi moyo wangu ukiruka kama vile mtu aliyeguswa na umeme. Hakuwa staa wa filamu, wala hakuwa tajiri mkubwa lakini alivyojitokeza, alivyonukia, na alivyonena ilitosha kunichanganya. Nilijua huyo ndiye mtu niliyetaka kuwa naye maishani, lakini haikuwa rahisi hata kidogo. Nilijaribu kila njia kumpata. Nilimfuata Instagram, nikaanza kupenda kila picha yake. Nilijitahidi kuonekana maeneo yale yale aliyokuwa akitembelea. Nilijifanya kuomba msaada wa kitaalamu kazini kwake ili angalau tupate muda wa maongezi. Lakini bado hakunipa…
Kwa miaka mitano, kila kitu maishani mwangu kilikuwa kimepoa hakuna kazi, hakuna hela, hakuna mpenzi. Rafiki zangu walikuwa wanaoa, wanajenga nyumba, wengine wakifungua biashara zao. Mimi nilikuwa kwa nyumba ya cucu, nikiomba data ili nicheki memes za Instagram. Nilikuwa nimekata tamaa, na neno “success” lilikuwa kama hadithi za katuni kwangu. Nilikuwa nimezama kwenye dry spell ya maisha. Hakuna msichana aliyeweza kunipa attention ata DM zangu zilikuwa seen only. Interview zote nilizoenda, nilikataliwa. Kwenye familia, nilianza kuonekana mzigo. Marafiki wangu walikuwa wakiniita “invisible investor” kwa sababu nilikuwa kila mahali lakini sifanyi lolote. Soma zaidi hapa
Sikuwahi kufikiria mtu ambaye nilimpenda kwa moyo wangu wote angeweza kunifanya vile alivyofanya. Niliishi na Kevin kwa miaka mitano. Tulikuwa na mipango ya maisha, mipango ya harusi, mipango ya watoto na hata mipango ya kununua kiwanja pamoja. Nilikuwa naamini tuko pamoja kwa kila hatua ya maisha. Lakini mambo yalibadilika haraka kuliko nilivyotarajia. Kwanza alianzisha kisingizio cha kazi nyingi. Halafu simu zikaanza kuwa busy usiku wa manane. Nikamkuta na lipstick kwa shati, akadai ni za dada wa ofisini. Polepole alibadilika. Hakuniangalia tena machoni, hakunitumia hata meseji za asubuhi. Nilivumilia sana. Nililia kwa mungu, nikamuuliza ni nini kosa langu. Lakini siku moja…
Kwa jina naitwa Baraka, kijana wa miaka 27 kutoka Iringa. Nilikuwa na uhusiano na msichana mmoja kwa karibu miaka miwili. Tulianza mapenzi yetu nikiwa bado nasoma chuo na tukaendelea hata baada ya kuhitimu. Nilimpenda kwa dhati, na hata familia yangu walishamjua kama mchumba wangu wa maisha. Lakini kuna siku moja tu mambo yalibadilika. Tulikuwa na mjadala mdogo kuhusu mustakabali wetu, na nikadhani ilikuwa ni mjadala wa kawaida kama wanandoa wa baadaye. Lakini msichana wangu aliona tofauti alitafsiri mazungumzo yale kama red flag, na kuniblock kila mahali. Nilishtuka. Nilijaribu kumtafuta kwa simu ilikuwa busy au haipatikani. WhatsApp, Facebook, Instagram, hata TikTok,…
Jina langu ni Wanjiku kutoka katika kauti ya Kisumu, nilikuwa mwanamitindo ambaye nilienda katika mashindano katika ukanda huu wa Afrika Mashariki kila mara. Sikutaka kuwa na kitu chochote ambacho kitanisumbua kwani hali ile ingefanya nisiweze kuwa maarufu. Nilikuwa nimeeda nchini Uganda na hapo nilishinda mataji, muda ulivyosonga, makovu yalianza kutokea kwenye uso wangu suala amabalo liliharibu urembo wangu kwa sana, wakati mwingi nilibaki kwenye chumba changu bila kutoa nje. Sikutaka yeyote kuniona, hali ile pia ilipelekea kushindwa kushiriki baadhi ya mashindano, kwa muda mrefu nilipoteza mengi kwani kwenye mashindano yale nilikuwa napata fedha nyingi tu. Suala lile lilikuwa linaniudhi sana,…
Baada ya kuhitimu chuo kikuu, nilituma maombi ya kazi zaidi ya 20 katika taasisi mbalimbali za serikali. Kila wakati nilijipa matumaini, nikiamini elimu yangu itaniondoa mitaani lakini jibu lilikuwa lile lile kimya au majibu ya kukataliwa. Wakati fulani nilihudhuria usaili na hata nikapata alama nzuri, lakini sikupewa nafasi. Badala yake, niliona watu ambao hata hawakuwa kwenye orodha ya waliofuzu wakichukuliwa. Nilianza kujihisi sina thamani, niliangalia marafiki zangu wakipata ajira, wengine kwa sababu ya “kuna mtu wao juu” au kwa sababu tu ya jina la familia. Mimi, kijana wa kawaida kutoka kijijini, nilionekana kama si wa daraja lao. Mama yangu aliwahi…
