Mjumbe wa mkutano mkuu wa CCM Taifa kutokea mkoa wa Mbeya Charles Mwakipesile amewajia juu baadhi ya watu hususani wapinzani ambao wamekuwa wakitoa maneno ya kejeli dhidi ya maendeleo yaliyoletwa na Rais Samia kwa kipindi cha miaka mitatu tangu achukue kijiti cha kuliongoza Taifa kutoka kwa Rais wa awamu ya tano aliyefariki dunia Dkt John Magufuli.
Trending
- Maajabu ya Kijungu na Daraja la Mungu
- Gesi ya Samadi Bioges yaokoa Mazingira Rungwe
- Umuhimu wa Sheria ndogondogoza ulinzi wa Mtoto,
- ZAIDI YA WASHIRIKI 3,000 WASHIRIKI UZINDUZI WA KAMPENI YA TUWAAMBIE KABLA HAWAJAHARIBIWA ARUSHA
- Mstahiki Meya wa Jiji la Mbeya Mhe. DoorMohamed Issa: Wana Mbeya Tuendelee kumuunga mkono Dkt Tulia
- TARURA MKOA WA DODOMA WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA BIDII
- Dkt. Tulia aipongeza Halmashauri ya Jiji la Mbeya kwa usimamizi mzuri wa miradi ya maendeleo.
- TARURA YAKAMILISHA UJENZI WA DARAJA LA MSADYA, MKOMBOZI KWA WANANCHI WA MPIMBWE