Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Mbeya (MZRH) kwa kushirikiana na Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mbeya wameandaa kambi ya kutoa huduma upasuaji kwa watu wenye magonjwa mbalimbali.
Kambi hiyo itahudumiwa kwa ushirikiano wa madaktari bingwa wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Mbeya na madaktari bingwa kutoka Hospitali ya Taifa ya Muhimbili ambao ni wataalamu wa magonjwa ya ubongo, mishipa ya fahamu, saratani pamoja na magonjwa ya mifupa.
Soma zaidi kupitia Mbeya Press Club.
Trending
- Hii ndiyo Shule ya Sekondari Mbeya DAY!! inazidi kung’ara
- Viziwi waipongeza Serikali huduma za Afya, waomba alama itakayowatambulisha katika usafiri
- KAILIMA: WENGI WAJITOKEZA KUBORESHA AU KUJIANDIKISHA KATIKA DAFTARIO LA KUDUMU LA WAPIGA KURA
- Bodi ya TASAC yaridhishwa utekelezaji wa maagizo kwa TPA
- TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM (2020-2025) MBUNGE VITI MAALUM MKOA WA MBEYA – MH. MAHUNDI
- Tulia Traditional Dances Festival 2024 Kurundima Mkoani Mbeya
- Uvumi kifo cha Muimbaji wa Injili Bonny Mwaitege Wazazi Waiomba Serikali kuchukua hatua
- Mtoto adaiwa kumuua baba yake mzazi kwa shambulio la mwili