Mgogoro umeibuka baina ya Lucas Mbwiga na Aidan Msigwa Wawekezaji wawili wa machimbo ya dhahabu katika Kijiji cha Ifumbo Kata ya Ifumbo Wilaya ya Chunya Mkoani Mbeya ambapo kila mmoja anadai kulimiliki kihalali eneo la Kisumain lililokuwa na leseni ya uchimbaji wa madini kwa jina la Daud Mwantavila ambalo linadaiwa kupangishwa kwa Lucas bila ridhaa ya familia huku Aidan Msigwa akidai kulinunua kisheria na kubadilisha umiliki wa leseni kutoka kwa Daud na kuja kwake tangu April 22,2024.
Trending
- Ajali yaua watatu Mbeya
- Homera awataka wanunuzi wa tumbaku kuwalipa vizuri wakulima
- KONGAMANO LA WAANDISHI WA HABARI WA MITANDAO YA KIJAMII LINALOANDALIWA NA JUMIKITA KWA KUSHIRIKIANA NA TAHLISO
- MAHAKAMA YA RUFAA YAFUTA HUKUMU YA MIKOPO CHECHEFU
- MAMBO MAPYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA
- Mtandao wa Wasafirishaji Wahamiaji Haramu wakamatwa Mbeya
- Maadhimisho ya Wiki ya Kuongeza Uelewa kuhusu Saratani ya Macho kwa Watoto (RETINOBLASTOMA) Duniani
- POLISI ARUSHA WAPEWA PIKIPIKI 20 KUIMARISHA USALAMA.