Wananchi wa Kata ya Itewe, wilayani Chunya, wamemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa juhudi zake katika ujenzi wa daraja jipya ambalo limeboresha miundombinu na kurahisisha usafiri katika eneo hilo. Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Mheshimiwa Juma Zuberi Homera, amepongeza Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) kwa kazi nzuri ya utekelezaji wa mradi huo muhimu kwa maendeleo ya wananchi.
Trending
- WAZIRI MKUU- WATANZANIA TUNZENI AKIBA YA CHAKULA▪️Ahimiza matumizi ya mbolea na mbegu za mazao
- Ndipo akashinda Sh13 milioni kupitia betting
- WAZIRI ULEGA AAGIZA UPANUZI BARABARA YA TUNDUMA KWA HARAKA KUPUNGUZA MSONGAMANO WA MALORI MPAKANI
- HIVI NDIVYO MWILI WA MAREHEMU JENISTA MHAGAMA ULIVYOWASILI NA KUPOKEWA SONGEA MKOANI RUVUMA
- MTARO ULIOFUKIWA MTAA WA LUMBILA IWAMBI MBEYA WAFURIKA MAJI YA MVUA NA KUIBUA KIZAAZAA KWA WANANCHI
- Mauzo yalianza kuongezeka, wateja wakawa wakudumu!
- Mtoto wa Jenista Mhagama Aibua Hisia Kali, Asema Mama Yake Hana Deni
- RAIS SAMIA KWA UCHUNGU MSIBANI – ”TUTALIMISI TABASAMU LAKE –

