Ikiwa ni msimu wa tano tangu kuanzishwa kwa Tulia Trust Uyole Cup leo Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Mh. Beno Malisa amezindua rasmi msimu wa Tano wa 2025 akiwataka wananchi kutofanya vurugu ili washuhudie vipaji kutoka Jiji la mbeya. Kwa upande wake Jaqline Boazi meneja wa Tulia Truss ameeleza namna wananchi wanavyonufahika na timu 35 kushiriki huku kaimu mwenyekiti wa wa chama cha mpira mkoa wa Mbeya akieleza namna matarajio yao ya kupata vipaji mbalimbali vya mpira.
Trending
- WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI
- MA-EMSII MBEYA WALIA NA UTITIRI WA TOZO NA KODI KATIKA KAZI ZAO,DC ITUNDA AAHIDI KUTAFUTIA SULUHU
- Wazazi Wafichua Mbinu Walizotumia Kuwalinda Watoto Wao Dhidi ya Jicho Baya na Uovu
- MH. MICHAEL MAKAO ALIVYOREJESHA FOMU YA UDIWANI KATA RUJEWA AAHIDI KUENDELEZA ALIPOISHIA
- Mwanamke Afumaniwa Akipika Chakula Usiku kwa Mtu Asiyeonekana, Jirani Atoa Neno
- HIKI NDICHO ALICHOKISEMA BAHATI NDINGO ALIPOKUWA AKIREJESHA FOMU KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA MBARALI
- Mwanamke miaka 50 aoana na kijana wa miaka 21 baada ya penzi lao kuvutia kijiji kizima kwa mshangao
- KAILIMA AFUNGA KIKAO CHA UPANGAJI WA RATIBA YA KAMPENI ZA WAGOMBEA URAIS