Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

BONANZA LA ”NMB KIJIJI DAY” MABADAGA USANGU MBARALI MBEYA WANAKIJIJI WACHAGAMKIA FURSA NMB

August 24, 2025

Mwanamke Afunga Mtaa Na Kilio Akisema Mume Wake Alimkimbia Na Kurudi Baada Ya Maombi

August 24, 2025

Siku utakayojua siri hii, utafanikiwa sana maishani!

August 23, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • BONANZA LA ”NMB KIJIJI DAY” MABADAGA USANGU MBARALI MBEYA WANAKIJIJI WACHAGAMKIA FURSA NMB
  • Mwanamke Afunga Mtaa Na Kilio Akisema Mume Wake Alimkimbia Na Kurudi Baada Ya Maombi
  • Siku utakayojua siri hii, utafanikiwa sana maishani!
  • Niliwahi Kudharauliwa Kwa Kutokuwa na Mali Lakini Sasa Nimegeuka Mfano wa Mafanikio
  • RC Mbeya Akabidhi Boti Mpya ya Ulinzi Jeshi la Polisi kwa Doria Ziwa Nyasa
  • BENKI YA NMB YAWACHIA FURAHA WAGONJWA HOSPITALI YA RUFAA MKOA MBEYA YAKABIDHI VITANDA 20 NA MAGODORO
  • Njia Sahihi za Kujilinda Dhidi ya Uchawi na Roho za Wivu
  • Jamaa Akimbia Harusi Yake Mwenyewe Akisema Anahisi Kuvutwa Na Upendo Wa Ex Wake
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » “Polisi Mbeya Wanasa Watuhumiwa 9 wa Utapeli Kupitia Mitandao ya Kijamii”
Video Mpya

“Polisi Mbeya Wanasa Watuhumiwa 9 wa Utapeli Kupitia Mitandao ya Kijamii”

Mbeya YetuBy Mbeya YetuAugust 20, 2025No Comments5 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linawashikilia watuhumiwa saba [09] kwa tuhuma za utapeli na kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu kupitia mitandao ya kijamii ya Facebook na WhatsApp. Watuhumiwa hao walikamatwa kwa nyakati tofauti katika Misako inayofanywa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya ambapo Agosti 18, 2025 saa 6:00 mchana huko Kitongoji na Kata ya Nsalala, Tarafa ya Usongwe, walikamatwa watuhumiwa 04 wanaojishughulisha na utapeli wa fedha kupitia mitandao ya Facebook na WhatsApp kwa kudanganya wanatafuta wafanyakazi wa kuuza Supermarket iitwayo Kajala iliyopo Jijini Dar es salaam.

Watuhumiwa waliokamatwa ni Nemia Japhet Njonga [23] fundi rangi, mkazi wa mwakapangala, Ombeni Asangalwisye Ambilikile [22] Bodaboda, mkazi wa Nsalala, Jacob Peter Hamis [23] fundi rangi, mkazi wa mwakapangala, Baraka Joniphat Mgala [22] Bodaboda, mkazi wa mtaa wa Ndola Mbalizi.

Watuhumiwa wamekuwa wakitengeneza link za kughushi kwenye mitandao ya kijamii ya Facebook na WhatsApp ambapo mtu anayeomba ajira hutumia kujiunga kwenye kundi hilo na kisha hutumiwa ujumbe unaomtaka kutuma CV yake na kumuomba mtume fedha za kujaziwa fomu na kulipia sare za kufanyia kazi. Watuhumiwa wamekutwa wakiwa na simu mbalimbali pamoja na laini za simu za mitandao mbalimbali zilizosajiliwa kwa majina ya watu tofauti ambazo hutumika kupokelea fedha na kufanyia mawasiliano

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

BONANZA LA ”NMB KIJIJI DAY” MABADAGA USANGU MBARALI MBEYA WANAKIJIJI WACHAGAMKIA FURSA NMB

August 24, 2025

RC Mbeya Akabidhi Boti Mpya ya Ulinzi Jeshi la Polisi kwa Doria Ziwa Nyasa

August 22, 2025

BENKI YA NMB YAWACHIA FURAHA WAGONJWA HOSPITALI YA RUFAA MKOA MBEYA YAKABIDHI VITANDA 20 NA MAGODORO

August 21, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025203

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024181

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 202588

TULIA TRUST YATOA MIFUKO 400 YA SARUJI KWA SHULE 3 JIJINI MBEYA

March 26, 202486
Don't Miss
Video Mpya

BONANZA LA ”NMB KIJIJI DAY” MABADAGA USANGU MBARALI MBEYA WANAKIJIJI WACHAGAMKIA FURSA NMB

By Mbeya YetuAugust 24, 20250

#mbeyayetutv

Mwanamke Afunga Mtaa Na Kilio Akisema Mume Wake Alimkimbia Na Kurudi Baada Ya Maombi

August 24, 2025

Siku utakayojua siri hii, utafanikiwa sana maishani!

August 23, 2025

Niliwahi Kudharauliwa Kwa Kutokuwa na Mali Lakini Sasa Nimegeuka Mfano wa Mafanikio

August 22, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

BONANZA LA ”NMB KIJIJI DAY” MABADAGA USANGU MBARALI MBEYA WANAKIJIJI WACHAGAMKIA FURSA NMB

August 24, 2025

Mwanamke Afunga Mtaa Na Kilio Akisema Mume Wake Alimkimbia Na Kurudi Baada Ya Maombi

August 24, 2025

Siku utakayojua siri hii, utafanikiwa sana maishani!

August 23, 2025
Most Popular

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025203

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024181

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 202588
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.