Mkazi wa Mtaa wa Block “T” uliopo Kata ya Iyela Jijini Mbeya, Austack Mushi, ameomba Serikali ya Mkoa wa Mbeya kuingilia kati na kumsaidia kurejesha mali na fedha zake zenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 100, baada ya kuvamiwa nyumbani kwake na watu wasiojulikana mnamo Septemba 30, mwaka huu.
Trending
- SERIKALI YA TANZANIA KUWAFUTIA HADHI YA UKIMBIZI WAKIMBIZI WANAOISHI NCHINI.
- MAZISHI YA SAMSON MWAMAKIMBULA
- Mbinu aliyotumia kupata kazi ya udereva baada ya kusota sana
- MHE. SALOME MAKAMBA AIPONGEZA PBPA KWA UTENDAJI KAZI MZURI
- Hofu yake zilianza kuathiri hata furaha ya ndoa yake
- MASACHE AWATAKA WANANCHI KUENDELEA KUSHIKILIA AMANI
- MH. MASACHE: TUENDELEE KUISIMAMIA MIRADI ILIYOKUWEPO NA KUIBUA MIPYA AWASHUKURU WANA CHUNYA
- MH. NOAH MWAKISU AAPISHWA RASMI KUWA DIWANI KATA YA ILOMBA

