#MbeyaYetuTv
Sakata la watuhumiwa wa mauaji ya mkazi wa Chunya Tenson Ndege Meta,kudaiwa kuachiwa huru, limechukua sura mpya baada ya Kaimu Mkuu wa Mashtaka mkoa wa Mbeya Basilius Namkambe kutoa msimamo wake na kuelezea namna taarifa zilizomo kwenye jalada la Daktari zinavyotofautiana na taarifa zinazodaiwa kuelezwa na ndugu wa marehemu,
Wakili Msomi Namkambe amesema kuwa anashangazwa na taarifa zinazodaiwa na wanandugu kufukuzwa wakati wa kufanyiwa uchunguzi mwili wa marehemu ilhali katika taarifa iliyowasilishwa na Daktari aliyefanya uchunguzi zimemuandika mmoja wa mashuhuda kuwa ni mke wa marehemu Rehema Daimon.l
Trending
- VIAZI MVIRINGO VYATAJWA KUHARIBU SOKO LA PARETO,PCT YATOA SOMO KWA MAWAKALA WA UNUNUZI NA WAKULIMA
- MVUA ILIVYOATHIRI BARABARA MITAANI ITEZI MBEYA WANANCHI WAPAAZA SAUTI ,MDAU AJITOKEZA KUTOA SAPOTI
- MVUA ILIVYOATHIRI MIUNDO MBINU MITAANI ITEZI MBEYA WANANCHI WAPAAZA KILIO
- KUSUASUA KWA UJENZI BARABARA NJIA NNE JIJINI MBEYA WANANCHI WATOA MAONI YAO
- CHAKAMWATA YAJA NA TAMKO KWA RAIS ONGEZEKO LA MSHAHARA KIMA CHA CHINI
- MADAKTARI BINGWA 36 WA DKT SAMIA WAWEKA KAMBI SIKU 5 MBEYA KUTOA MATIBABU MIKOA NYANDA ZA JUU KUSINI
- WAANDISHI WA HABARI KUANZA KUJISAJILI KWENYE MFUMO WA TAI-HABARI – MSIGWA
- “Meya: Deni la Kuipandisha Mbeya City Limelipwa!” Maandalizi Mapya Yaanza kwa Kishindo”