Subscribe to Updates
Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.
- eGA yatoa mafunzo kwa Kamati ya Uongozi ya TEHAMA INEC
- WATUHUMIWA 20 WAKIWEMO RAIA WA KIGENI 04 WAKAMATWA KWA KUINGILIA MIFUMO YA MAWASILIANO.
- M/KITI JUMUIYA WAZAZI MBEYA(M) MWALUPINDI ASHIRIKI MAHAFALI SEKONDARI ITENDE ATOA SARUJI/VITABU
- Tumia njia hii watoto wako wafaulu mitihani Shuleni
- M/KT CCM MBEYA MJINI AFREY NSOMBA AWAFUNDA WAHITIMU KIDATO CHA NNE SHULE YA SEKONDAR KALOBE
- MAJALIWA ATETA NA WAZIRI WA UCHUMI WA URUSI
- TARURA KATAVI YABORESHA MIUNDOMBINU YA BARABARA
- Hii ndio dawa nzuri ya kumtuliza mume ndani ya ndoa!
Author: Mbeya Yetu
Na Mwandishi wetu Dar. Mwenyekiti Mstaafu wa Serikali ya Mtaa wa Sangara Kata ya Msongola wilaya ya Ilala jijini Dar esSalaam Pili Charles Ndimaye amejiunga na Chama Cha ACT Wazalendo baada ya kumaliza muda wake wa uongozi Oktoba 19 Mwaka huu. Taarifa ya viongozi wa ACT Wazalendo Jimbo la Ukonga iliyotolewa leo (Oktoba 22, 2024), imeeleza kuwa Ndimaye amejiunga na Chama hicho Oktoba 19, 2024 ikiwa ni muda mchache baada ya kumaliza taratibu za kukabidhi Ofisi ya Mtaa kama ilivyoelekezwa na Waziri wa Tamisemi Mohamed Mchengerwa. Akizungumza Kwa njia ya simu na Mwandishi wa Habari hizi, Mwenyekiti wa ngome ya…
Maji ya ziwa Rukwa ni rasilimali muhimu kwa maisha ya wananchi wa mikoa kadhaa ya Nyanda za Juu Kusini kwa ajili ya matumiziya binadamu na uzalishaji wa mali
katika makala haya tunangazia juhudi zinazochukuliwa na mko wa Katavi ktika kulinda ikolojia ya ziwa hilo.
Vikundi vya Ulinzi Shirikishi Kata ya Ngara Mjini Wilaya Ngara Mkoa wa Kagera vimetakiwa kuzingatia Sheria kipindi cha utekelezaji wa majukumu yao huku akiwataka kuwa mfano mzuri Kwa jamii. Hayo yamebainishwa na Mkaguzi Kata ya Ngara Mjini Mkaguzi Msaidizi wa Polisi A/INSP Olipa Chitongo wakati akitoa elimu Kwa vikundi hivyo ambapo amewataka kufuata sheria za mwenendo wa Makosa ya Jinai akiwakumbusha kifungu cha 21 kifungu kidogo cha kwanza cha ukamataji salama. Mkaguzi Olipa amewataka kutambua kuwa vikundi vya ulinzi Shirikishi ni Miongoni mwa Wadau wa karibu wa Jeshi la Polisi katika masuala ya Ulinzi ambapo amewasisitiza kufanya kazi Kwa weledi…
Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi, Dkt. Pindi Chana (Mb) amelishukuru Shirika la Mpango wa Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) kwa kuunga mkono juhudi za Serikali ya Tanzania za kuendeleza uhifadhi kwa kupambana na ujangili na biashara haramu ya nyara pamoja na kuimarisha ustahimilivu wa Bioanuai ya Misitu ya Mazingira Asilia Tanzania dhidi ya athari za mabadiliko ya Tabianchi. Ameyasema hayo alipokutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mkazi, wa UNDP, Bw. Shigeki Komatsubara leo Oktoba 22,2024 jijini Dodoma. “Shirika la UNDP limeendelea kushirikiana na Wizara ya Maliasili na Utalii katika utekelezaji wa Mradi wa Kupambana na Ujangili na…
Jina langu ni Sauda kutokea Moshi Tanzania, nimeishi katika ndoa zaidi ya miaka saba sasa na mume wangu, Jose katika miaka mitano ya mwanzo katika ndoa yetu hatukujaliwa kupata mtoto jambo lilonipa wakati mgumu sana msongo wa mawazo. Kila wakati nilikuwa namwambia mume wangu na watu wa karibu kwamba ningefurahi iwapo siku moja nitajaliwa kupata watoto mapacha. Wengi walinieleza kuwa ni vigumu ikiwa kwenye familia yenu hakuna mtu aliyewahi kujaliwa mapacha lakini nikajipa moyo ipo siku nitapata tu. Baada ya miaka miwili ya ndoa tulienda Hospitali mbalimbali na mume wangu kutaka usaidizi ili kuweza kupata mtoto kwani tuliona muda unazidi…
Kijungu na Daraja la Mungu ni maeneo maarufu ya kijiografia na vivutio vya utalii nchini Tanzania, vilivyopo katika mkoa wa Mbeya, Nyanda za Juu Kusini. Zina sifa za asili za kijiolojia zinazovutia watalii na watafiti wa mazingira.
Kijungu
Kijungu ni eneo la kijiolojia lenye sura ya mto unaozunguka mwamba mkubwa, na kuacha mduara kama “jungu” (sufuria), na ndilo linalotoa jina lake. Hapa maji ya mto huchonga mwamba kwa nguvu, na kuacha mandhari ya kuvutia. Kijungu kinajulikana kwa nguvu zake za maji ya maporomoko ambayo yamepita hapo kwa miaka mingi, na kuunda maumbo haya ya kustaajabisha.
Daraja la Mungu
Daraja la Mungu ni jiwe kubwa lililojitengeneza kiasili na kuonekana kama daraja la asili. Inasemekana kuwa ni sehemu ya maporomoko ya maji ambayo maji yamechonga miamba kwa muda mrefu, na kuacha mwamba huo mkubwa ukionekana kama daraja. Jina “Daraja la Mungu” limetokana na imani za wenyeji kuwa daraja hilo limeundwa kwa nguvu za kimuujiza, kutokana na umbo lake la kipekee.
Maeneo haya yote ni sehemu muhimu za utalii wa mazingira nchini Tanzania, na huvutia watu wanaopenda urembo wa asili, kijiolojia, na historia ya asili ya Tanzania.
Samadi ya ng’ombe imekuwa ikuchukuliwa kama uchafu unaochangia uharibifu wa mazingira mitaani, lakini kwa wananchi wa Wilayani Rungwe mkoani Mbeya kwao hali ni tofauti kwani sasa wanaityumia samadi hiyo kuokoa uhribifu wa mazingira unaotokana na ukataji miti kwa ajili ya kuni na mkaa. Makala haya yanaelezea namna wananchi hao wanavyotumia samadi hiyo kutengeneza gesi ya kupikia (Biogas),.