Author: Mbeya Yetu

*BREAKING NEWS*

Ndugu waandishi wa Habari na Ndugu wananchi wa Mkoa Wa Tanga na Tanzanaia kwa ujumla Nimepokea kwa masikitiko makubwa tukio la Ajali Mbaya iliyotokea usiku wa leo.
Ajali hiyo imehusisha Magali mawili na kusababisha Vifo vya watu 17 na Majeruhi 12 Pamoja na Uharibufu mkubwa wa magali hayo..

Ajali ilitokea Tarehe 03/02/2023 Majira ya Saa 4.30 Usiku Eneo la Magira Gereza Kata ya Magira Gereza Tarafa ya Mombo Wilayani Korogwe, Barabara Kuu ya Segera – Buiko.

Magali yaliyohusika na Ajali hiyo ni Gari Na T.673 CUC aina Mitsubish Fuso Ikiendeshwa na Dereva ambaye Jina Lake Halijafamika iligonga na Gari T.863 DXN aina ya Coaster Coaster Iliyokuwa imebeba Mwili wa Marehemu ba Abiria 26 Ikiyokea Dar es Salaam Kuelekea Moshi Kilimanjaro kwa mazishi.
Ajali hii inasababisha Vifo 17 na Majeruhi 12. Ambao Majina yao wote Hajafahamika. Miili ya Marehemu imehifafhiwa katika Hospital yetu ya Wilaya Ya Korogwe na Majeruhi 10 Wamehamishiwa Hospital ya Mkoa wa Tanga Bombo na Majeruhi 2 wamebaki Hospital ya Korogwe Kwa Matibabu. Chanjo cha Ajali ni Mwendo Kasi na Uzembe wa Dereva wa Gali Na :T.673 CUC M/Fuso Kulipita gali la mbele Bila Ya kuchukua Tahadhari na kugongana Uso kwa uso Gali Na :T.863 DXN T/Coaster

Tukio la Ajali Baada ya kukuguliwa , Magali yote yameshaondolewa barabarani na Saasa Barabara inapitika.

Mgunba T.Omary.

Mkuu wa Mkoa Wa Tanga.

Read More