Author: Mbeya Yetu

Kazi ya kutoa msaada wa kisheria kwa wananchi wanaotembelea banda la Mama Samia Legal Aid Campaign, ikiendelea kwenye maonesho ya nanenane jijini Dodoma Na Mwandishi Wetu BAADA ya kusaidia maelefu ya Watanzania kupitia maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam(DITF), Kampeni ya Kitaifa ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia au maarufu kama Mama Samia Legal Aid Campaign, sasa iko katika maonesho ya nanenane jijini Dodoma. Kampeni hiyo ambayo tangu kuzinduliwa kwake mwaka jana, imekuwa ikitumia wabobezi katika tasnia hiyo ya sheria kutatua migogoro mbalimbali inayotokea kwenye jamii katika mikoa mbalimbali wanakopita iko katika maonesho hayo…

Read More