Ikiwa ni msimu wa tano tangu kuanzishwa kwa Tulia Trust Uyole Cup leo Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Mh. Beno Malisa amezindua rasmi msimu wa Tano wa 2025 akiwataka wananchi kutofanya vurugu ili washuhudie vipaji kutoka Jiji la mbeya. Kwa upande wake Jaqline Boazi meneja wa Tulia Truss ameeleza namna wananchi wanavyonufahika na timu 35 kushiriki huku kaimu mwenyekiti wa wa chama cha mpira mkoa wa Mbeya akieleza namna matarajio yao ya kupata vipaji mbalimbali vya mpira.
Trending
- TUME YA UCHAGUZI YAPONGEZWA MAANDALIZI UCHAGUZI MKUU 2025
- TULIA TRUST UYOLE CUP 2025 YAZINDULIWA MBEYA.
- MASHUHUDA AJALI ILIOUA 28 MBEYA WATOA NENO
- MH. MAHUNDI: SERIKALI YABORESHA MAWASILIANO KATA YA MKWAMBA RUKWA KUPITIA MIRADI YA UCSAF
- EID EL UDH HIYA MBEYA; TUJIHADHARI NA WACHOCHEZI TUILINDE AMANI YA NCHI YETU KUELEKEA UCHAGUZI MKUU
- AFISA MTENDAJI MKUU WA AfD AZUNGUMZA NA WAJUMBE WA BODI YA GPE MJINI PARIS LEO
- MH. MAHUNDI: KADI MPYA ZA MASTERCARD KUIIMARISHA HUDUMA ZA KIFEDHA TANZANIA
- MALKIA WA NGUVU WALIOSHINDA TUZO KANDA NYANDA ZA JUU KUSINI WATOA USHUHUDA WAO