Mkazi wa Mtaa wa Block “T” uliopo Kata ya Iyela Jijini Mbeya, Austack Mushi, ameomba Serikali ya Mkoa wa Mbeya kuingilia kati na kumsaidia kurejesha mali na fedha zake zenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 100, baada ya kuvamiwa nyumbani kwake na watu wasiojulikana mnamo Septemba 30, mwaka huu.
Trending
- TRA MBEYA YAWA KIMBILIO KWA WALIPA KODI BIL 39 ZAKUSANYWA KWA ROBO MWAKA
- Dkt. Tulia Ahitimisha Mafunzo ya “Wanawake na Samia” VETA Mbeya, Apongeza Uongozi wa Rais Samia
- Shirika la Posta Laadhimisha Wiki ya Posta Duniani kwa Kutoa Msaada Hospitali ya Igawilo
- Nilidhani Sina Bahati Maishani, Lakini Baada ya Hatua Moja Rahisi Kila Kitu Kikaanza Kuninufaisha
- KIKWETE AIPONGEZA BENKI YA NMB
- Mbinu Rahisi za Kumfanya Mume Wako Apagawe Kitandani
- Austack “Kadogoo” Mushi Aililia Serikali imsaidie Baada ya Kuvamiwa na Kupoteza Kila Kitu
- Kijana Mbeya Akamatwa Kwa Tuhuma za Kumuua Mama Yake wa Kambo