Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, amefungua rasmi Mkutano Mkuu wa 148 wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) uliofanyika katika kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha CICG, Geneva nchini Uswisi leo tarehe 24 Machi, 2024. Mkutano huo unatarajiwa kujadili Dhima Kuu ambayo ni “Matumizi ya Diplomasia ya Kibunge katika kuleta Amani na Maelewano Duniani”. Mkutano huo umehudhuriwa na Maspika wa Mabunge 48 na washiriki zaidi ya 1,500 na unatarajiwa kuhitimishwa tarehe 27 Machi, 2024. Huu unakuwa Mkutano wake wa kwanza kuufungua tangu achaguliwe kuwa Rais wa IPU katika Uchaguzi uliofanyika Oktoba 27, 2023 nchini Angola.
Trending
- WACHIMBAJI WA DHAHABU CHUNYA WABURUZANA MAHAKAMANI
- INEC YATANGAZA UCHAGUZI MDOGO JIMBO LA KWAHANI
- KAMBI YA MADAKTARI BINGWA 50 WA DKT. SAMIA YAZINDULIWA RASMI MKOANI LINDI.
- BENKI YA MAENDELEO TIB WAKABIDHI HUNDI (MBEYAUWSA)
- NSOMBA AONGOZA KAMATI SIASA CCM MBEYA MJINI WACHUKUA FOMU MBIO TULIA MARATHON MEI 11
- ccm watupa jiwe la gizani kwa chadema, mbwa anayepiga kelele ndiye anauawa;
- MEYA: MASHINDANO TULIA MARATHON YANAIBUA FURSA ZA KIUCHUMI,ELIMU, AFYA JIJI LA MBEYA”
- Ulevi kwa wanaume, vikoba kwa wanawake vyadaiwa kuwa chanzo cha utelekezaji familia